Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

MHE. JENISTA AELEKEZA VIKUNDI 450 VYA WALENGWA WA TASAF VYA AKIBA NA MIKOPO KUKOPESHWA FEDHA ZA HALMASHAURI ZISIZO NA RIBA MKOANI IRINGAI


Mlengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini wa Kata ya Kitwiru, Halmashauri ya Manipaa ya Iringa, Bi. Joyce Mgonzo akieleza namna TASAF ilivyomuwezesha kuboresha maisha yake wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama iliyolenga kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika halmashauri hiyo.