Habari
KAMATI YA USEMI YAELEKEZA UMILIKI WA HATI MILIKI ZA ARDHI ZA FAMILIA UWE WA AKINA MAMA NA BABA

Mkurugenzi wa Urasimishaji MKURABITA, Bi. Jane Lyimo akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya MKURABITA kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo katika Kijiji cha Manyemba wilayani Chamino iliyolenga kukagua utekelezaji wa shughuli za MKURABITA.