Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA YAPEWA MAFUNZO


Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray akifafanua jambo wakati Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilipokuwa ikitoa mafunzo kuhusu Usimamizi wa Maadili ya Viongozi wa Umma kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, tarehe 11 Februari, 2026.