Tanzania emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Habari

BAJETI YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25 YAPITISHWA NA BUNGE


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.