Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akifafanua jambo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome mara baada ya kufunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria walio katika utumishi wa umma, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.