|
|
In Focus
 Katibu Mkuu Kiongozi Bw. Phillemon Luhanjo, kati kati (waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Naibu na Naibu Makatibu Watendaji walioteuliwa hivi karibuni wakati wa mafunzo elekezi kwa viongozi hao-Dodoma, Kushoto (waliosimama) ni Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Eric F. Shitindi
 Katibu Mkuu- Utumishi Bw. George D. Yambesi, wa nne kutoka kulia waliokaa, katika picha ya pamoja na Watendaji wakuu wa Wakala wa Serikali baada ya kufungua mkutano wao wa kila mwaka
 Kaimu Katibu Mkuu, Utumishi Bw. Eric F. Shitindi akiongea na vyombo vya habari kuhusu kauli ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kuhusu uchaguzi mkuu
 Bendi ikiongoza maandamano ya watumishi wa Umma kutoka taasisi mbalimbali wakati wa sherehe za uzinduzi wa Wiki ya Utumishi wa Umma
 Mkuu wa sehemu ya Utumishi-Bi. Jane Kajiru akifungua mafunzo kuhusu ugonjwa wa UKIMWI kwa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi jijini Dar es salaam
 Mteja akihudumiwa katika banda la Ofisi ya Rais, Utumishi wakati wa maonesho ya wiki ya Utumishi, uwanja wa CCM Kirumba
 Waziri wa Nchi, Utumishi Mhe. Hawa A. Ghasia akisaini kitabu cha wageni wakati wa maonesho ya Nane nane-Dodoma
 Bw. Dominick Minja aliyetunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la pili, akiongea katika hafla iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais-Utumishi kuwapongeza watumishi waliotunukiwa nishani
 Jengo la Serikali-Mtandao lililozinduliwa sambamba na Awamu ya pili ya Programu ya Kuboresha Utumishi wa Umma.
 Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakiwa na kikombe cha ushindi wakati wa maonesho ya Nane nane, kiwanja cha Nzuguni Dodoma
 Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Mick Kiliba, katikati, akiongea katika hafla ya kumuaga Bw. Fredirick Mbaga (kulia) aliyekua Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Umma kwa kustaafu, kushoto, mke wa Bw. Mbaga.
 Mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa Wiki ya Utumishi Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkulo (wa pili kulia), akipata maelezo katika banda la Utumishi, akiwa na Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Eric F. Shitindi (wa kwanza kulia).
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia akimtunuku cheti Katibu wa Baraza Kuu katika Utumishi wa Umma na Baraza la Majadiliano ya pamoja katika Utumishi wa Umma Bw. Mathias Kabunduguru baada ya kumaliza muda wa nafasi hiyo
 Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwanza wakielimishwa kuhusu matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEKNOHAMA) serikalini katika banda la Utumishi uwanja wa CCM Kirumba
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akihutubia wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Mwanza
 Kaimu Katibu MKuu, Utumishi Bw. Eric F. Shitindi (watatu kutoka kulia), katika picha ya pamoja na watumishi wa kujitolea kutoka nchini Japani mara ya kuwapokea
 Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi akipata ushauri kabla ya kupima afya
 Bw. Fredrick Mbaga, na mkewe wakiwa na zawadi waliyokabidhiwa katika sherehe ya kumuaga Bw. F. Mbaga kwa kustaafu
 Wadau wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakipata huduma wakati wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi, Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza
 Mtumishi wa Ofisi ya Rais-utumishi akieleza faida za kupima na kuwa mkweli kuhusu afya wakati wa mafunzo kuhusu ugonjwa wa UKIMWI
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A.Ghasia (MB) akimkabidhi vitendea kazi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Bw. David K. Jairo (kushoto) baada ya kuzindua rasmi wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania
 Shamrashamra wakati wa kumuaga aliyekua Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Utumishi wa Umma Bw. F.Mbaga
 Watumishi kutoka katika taasisi mbalimbali za serikali wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mafunzo kuhusu TEKNOHAMA yaliyofanyika Morogoro
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia akimkabidhi zawadi Katibu Mkuu-Utumishi Bw. George D. Yambesi katika hafla ya kuwapongeza watumishi waliopata nishani za utumishi wa muda mrefu
 Kaimu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Eric F. Shitindi akiongea na vyombo vya habari wakati wa maonesho ya Nane nane-Dodoma
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akihudumia wateja wakati wa maonesho ya Saba saba - Dar es salaam
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akimvisha Bw. Dominick A. Minja wa Ofisi ya Rais-Utumishi Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la pili katika uwanja wa Nyerere Dodoma
 WIKI YA UTUMISHI - MWANZA: Wananchi wakipata maelezo kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na Ofisi ya Rais-Utumishi katika kiwanja cha CCM Kirumba
 Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa H. Mkulo akifungua rasmi maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, uwanja wa CCM Kirumba Mwanza
 USHINDI: Watumishi wa Ofisi ya Rais wakifurahia ushindi kwa Utoaji wa Huduma Bora za Jamii, wakati wa maonesho ya Nane nane kiwanja cha Nzuguni Dodoma
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akiwa katika picha ya pamoja na moja kati ya washindi wa maonesho ya Wiki ya Utumishi katika kiwanja cha CCM Kirumba, Mwanza
 Wakazi wa Mwanza na mikoa ya jirani wakiwa katika sherehe za uzinduzi wa Wiki ya Utumishi wa Umma, uwanja wa CCM Kirumba
 Waziri wa Nchi-Utumishi Mh. Hawa A. Ghasia (MB) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Abbas Kandoro tuzo wakati wa kilele cha maonesho ya Wiki ya Utumishi baada ya mkoa wake kuibuka mshindi katika kushughulikia masuala ya ugonjwa wa UKIMWI
|
|
Serikali Kulipa Madeni ya Walimu |
|
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mh. Hawa Ghasia (Mb) ameeleza, Serikali imeamua kulipa madeni yote yanayohusu likizo, matibabu, posho na uhamisho kwa walimu wa Sekondari, Shule za Msingi, vyuo vya ualimu na waalimu walioko maofisini ifikapo Machi, 2008. Madeni yaliyohakikiwa ni 8.7 bn/=. |
|
Last Updated ( Monday, 25 February 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
Mh. Ghasia Aapishwa Kuwa Waziri wa Utumishi |
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete amemuapisha Mh. Hawa A. Ghasia (Mb) kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Uteuzi huo uliofanyika kwa mara ya pili unatokana na kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri mnamo mwezi Februari 2008 baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Mh. Edward Lowassa. |
|
Last Updated ( Thursday, 14 February 2008 )
|
|
Read more...
|
|
|
President Jakaya Mrisho Kikwete named the new Cabinet |
 President Jakaya Kikwete named the new Cabinet on 12th February 2008, which is smaller by 13 ministers and deputy ministers, with four new faces. The president has dropped 15 members of the old Cabinet, saying some veterans opted not to be included in the new team. |
|
Last Updated ( Wednesday, 13 February 2008 )
|
|
Read more...
|
|
| | << Start < Prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 Next > End >>
| | Results 29 - 32 of 37 |
|
Events Calendar
 |
September 2010 |
 |
|
Upcoming Events
There are no upcoming events currently scheduled.
Who's Online
We have 64 guests online
|