Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika akizindua jengo la Ofisi ya TAKUKURU Wilaya ya Namtumbo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mhe. Christina Mndeme na Kaimu Mkurugenzi wa TAKUKURU, Bibi Sabina Seja.