Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George Huruma Mkuchika (Mb) akisaini Kitabu cha Maombolezo Kijijini Lupaso - Masasi nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamini William Mkapa aliyefariki dunia tarehe 23/7/2020.